Back to home
Tume ya kutetea haki za kibinadamu imetishia kuwasilisha kesi dhidi ya kampuni ya madini Siaya
video
C
Citizen TV (Youtube)April 10, 2026
2h ago
Tume ya kutetea haki za kibinadamu nchini imetishia kuwasilisha kesi dhidi ya kampuni inayohusishwa na uchimbaji wa madini katika eneo la Ramula kaunti ya Siaya. Tume ikiongoza masharika mengine ya kutetea haki kulaumu mauaji ya punde zaidi ya watu wawili katika eneo hilo
Advertisement
Advertisement





