Back to home
David Kiaraho azikwa Tigoni, viongozi wamsifu
video
C
Citizen TV (Youtube)April 10, 2026
2h ago
Mbunge wa Ol Kalou David Kiaraho amezikwa nyumbani kwake leo katika eneo la Tigoni, eneo bunge la Limuru, kaunti ya Kiambu. Viongozi waliohudhuria mazishi walimmiminia sifa kwa kuwa kiongozi mchapa kazi.
Advertisement
Advertisement





