Back to home
Mama afariki Nyeri baada ya kujifungua kwa upasuaji
video
C
Citizen TV (Youtube)April 12, 2026
3h ago
Familia moja huko kambura-ini eneo bunge la kieni kaunti ya Nyeri, inaitaka hospitali ya Naromoru level 4 kuchukuliwa hatua, baada ya binti yao Joy Kiende mwenye umri wa miaka 19 kufariki wakati wa kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kulingana na mumewe James Munene, Joy alikuwa buh
Advertisement
Advertisement





