Back to home

Mama afariki Nyeri baada ya kujifungua kwa upasuaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 12, 2026
3h ago
Familia moja huko kambura-ini eneo bunge la kieni kaunti ya Nyeri, inaitaka hospitali ya Naromoru level 4 kuchukuliwa hatua, baada ya binti yao Joy Kiende mwenye umri wa miaka 19 kufariki wakati wa kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kulingana na mumewe James Munene, Joy alikuwa buh
Advertisement