Back to home

Viongozi wa upinzani walaumu serikali kwa fujo

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 12, 2026
3h ago
Viongozi wa upinzani wameendelea kuilaumu serikali kwa vurugu kwenye mikutano yao, wakishutumu kile kilichoshuhudiwa jana katika kaunti ya Kiambu. Wakiongozwa na Rigathi Gachagua wa DCP na Fred Matiang'i wa Jubilee, viongozi hao wamewataka wakuu wa usalama kuwajibikia usalama na
Advertisement