Back to home

Rais William Ruto awataka Wakorino kumpuuza kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 12, 2026
3h ago
Rais William Ruto amepuuzilia mbali matamshi ya kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua kupinga waumini wa dhehebu la Akorino kukutana naye katika ikulu ya Nairobi. Rais Ruto akitaja matamshi ya Gachagua kuwa ya kupotosha wakenya na yenye kuchochea ukabila,
Advertisement