Back to home
Mvua iliyoandamana na upepo yabomoa paa la zahanati Sirisia
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Huduma za afya zilitatizika kwa muda katika zahanati ya lwandanyi eneo bunge la Sirisia kaunti ya Bungoma baada ya mvua iliyoandamana na upepo mkali kung’oa paa la zahanati hiyo usiku wa kuamkia leo .
Kulingana na afisa msimamizi wa zahanati hiyo dakta Emmanuel Wepu, tukio hilo
Advertisement
Advertisement





