Back to home

Rais William Ruto ameendelea kuwarushia vijembe wanasiasa wa upinzani

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
3h ago
Rais William Ruto ameendelea kuwarushia vijembe wanasiasa wa upinzani akiwataka wakenya kuepuka siasa za chuki. Akizungumza alipoanza ziara ya siku nne katika eneo la Gusii, Rais Ruto ameendelea kujipigia debe akisema rekodi yake ya maendeleo itampa fursa kuendelea kuwa rais kwen
Advertisement