Back to home

Majambazi wa Nairobi waiba vitu vya thamani ya 16m ndani ya duka la kompyuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 14, 2026
5h ago
Maafisa wa upelelezi katika Kituo cha Polisi cha Central hapa Nairobi wameanzisha msako dhidi ya majambazi waliovamia duka la vifaa vya elektroniki na kuiba mali ya thamani ya zaidi ya shilingi milioni 16. Picha za CCTV, zinaonyesha washukiwa hao wakizungumza na walinzi, muda mfu
Advertisement