Back to home

Tume ya maadili na kupambana na ufisadi imeitetea rekodi yake katika vita dhidi ya ufisadi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 14, 2026
4h ago
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi imeitetea rekodi yake katika vita dhidi ya ufisadi, ikiripoti kiwango cha asilimia 72 cha hukumu na kurejeshwa kwa shilingi bilioni 7.8 fedha za umma zilizoibwa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Akizungumza katika kikao na wanahaba
Advertisement