Back to home

Kamati ya bunge yataka majibu kuhusu sakata ya mafuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 14, 2026
6h ago
Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu kawi na Petroli sasa inadai majibu kwa serikali kuhusu shehena ya mafuta iliyozua utata huku sasa ikisema haijaridhishwa na maelezo ya waziri Opiyo Wandayi kuhusiana na sakata hiyo. Kamati hii ya David Gikaria ilifanya ziara katika kampuni ya Ken
Advertisement