Back to home
Wasiwasi watanda sekta ya usafiri kabla ya bei mpya za mafuta kutangazwa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 14, 2026
4h ago
Jioni ya leo, Mamlaka ya Kudhibiti Kawi na Petroli nchini (EPRA) inatarajiwa kutangaza bei mpya za mafuta huku wasiwasi ukigubika sekta ya usafiri kuhusu bei hizo. Kwenye vituo vingi vya mafuta, waendeshaji magari wameonekana wakijaza mafuta kwa hofu ya mabadiliko hayo.
Advertisement
Advertisement





