Back to home

FIFA Series kukamilika Nyayo, Kenya kukutana Australia fainali

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 14, 2026
8h ago
Mashindano ya kimataifa ya kandanda ya FIFA Series yatakamilika kesho katika Uwanja wa Kitaifa wa Nyayo jijini Nairobi. Kutakuwa na mechi mbili, India ikimenyana na Malawi katika mechi ya mchujo wa nafasi ya tatu kabla ya wenyeji Kenya kukutana na Matildas ya Australia kwenye fai
Advertisement