Back to home

Familia yataka mwili wa dereva aliyeuawa Congo kurejeshwa Kenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 14, 2026
4h ago
Familia ya Mkenya na dereva wa lori la masafa marefu aliyeuawa msituni mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo sasa inataka kurejeshwa kwa maiti ya jamaa yao nchini kwa mazishi. Familia hiyo inaishutumu kampuni iliyomuajiri jamaa yao Edwin Njuguna Ngugi na pia serikali kwa
Advertisement