Back to home

Gavana wa Kaunti ya Murang’a Irungu Kang’ata anamlaumu mdhibiti wa bajeti nchini

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 15, 2026
2h ago
Gavana wa Kaunti ya Murang’a, Irungu Kang’ata, anamlaumu mdhibiti wa bajeti nchini kwa kuchelewesha uchunguzi wa stakabadhi muhimu, akisema hali hiyo inasababisha kuchelewa kwa utekelezaji wa miradi muhimu ya kaunti.
Advertisement