Back to home
Wakaazi wa Rongai wataka ujenzi wa nyumba nafuu kusitishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
2h ago
Wakaazi wa Rongai katika eneo bunge la Kajiado Kaskazini, wanapinga ujenzi wa nyumba za bei nafuu katika ardhi ya Nakeel yenye ukubwa wa ekari 152.
Wakazi hao wanasema mahakama iliamuru kusimamishwa kwa muda kwa mradi huo wa serikali , na kuendelezwa kwa shuguli za ujenzi kabla
Advertisement
Advertisement





