Back to home
Zaidi ya watu 8,000 wamefaidika na kambi za matibabu eneo la Thika
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
2h ago
Zaidi ya watu 8,000 wamefaidika na kambi ya matibabu iliyoandaliwa katika eneo la Thika, kaunti ya Kiambu.
Kambi hiyo ya matibabu iliyoandaliwa kwa siku tatu na shirika la Shree Jain Youth League, ilitoa matibabu ya macho, masikio na koo kwa
zaidi ya wakazi mia nne. wataalamu ku
Advertisement
Advertisement





