Back to home
Serikali imezindua mikakati mipya ya kufufua sekta ya kahawa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
4h ago
Serikali imezindua mikakati mipya ya kufufua sekta ya kahawa nchini, huku wakulima katika maeneo mapya kama Loitokitok, Kaunti ya Kajiado wakihamasishwa kurejea katika kilimo hicho chenye faida kubwa.
Advertisement
Advertisement





