Back to home
Viongozi wa linda mwananchi kufanya mkutano Nakuru
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
5h ago
Wakaazi wa kaunti ya Nakuru wanaoegemea siasa za mrengo wa Linda mwananchi unaoongozwa na Katibu Mkuu wa Chama cha ODM Edwin Sifuna, wametaka wakaazi wa kaunti ya Nakuru kujitokeza Kwa wingi siku ya Jumapili .
Advertisement
Advertisement



