Back to home

Maaskofu wakemea siasa za uhuni, wataka hatua za kisheria kuchukuliwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 16, 2026
2h ago
Maaskofu wa kanisa katoliki wameelezea wasiwasi wao kuhusu kuongezeka kwa visa vya wahuni kuvuruga mikutano na kuvamia makanisa. Maaskofu hao wametamaushwa na jinsi wahuni wanavyoendeleza uhalifu bila hatua zozote kuchukuliwa, wakisema inaonekana kama wanalindwa. Pia maaskofu hao
Advertisement