Back to home
ODM yataka chungwa liheshimiwe huku uhusiano na UDA ukidorora
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
2h ago
Chama cha ODM sasa kinadai kuwa wenzao katika UDA wanakikosea chama cha chungwa heshima na kuwataka wakome. katika mkutano wa kamati simamizi ya chama hicho, odm inadai kuwa baadhi ya viongozi wa uda wamekuwa wakitoa matamshi yasiyofaa dhidi ya viongozi wa odm hatua ambayo imezua
Advertisement
Advertisement









