Back to home
Kikundi kipya cha wanaharakati wanawake kimezinduliwa jijini Nairobi kuunga Rais
video
C
Citizen TV (Youtube)April 17, 2026
2h ago
Kikundi kipya cha wanaharakati wanawake kimezinduliwa jijini nairobi kuunga mkono muhula wa pili wa rais William Ruto, huku ikilenga kusambaza ajenda yake na kupambana na kile wanachodai kuwa ni upotoshaji wa taarifa kutoka kwa upinzani
Advertisement
Advertisement





