Back to home

Watu 190 waathriwa baada ya kula nyama yenye ugonjwa wa kimeta eneo la Antobuchiu Meru

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
3h ago
Watu 190 kutoka eneo la Antobuchiu, Igembe Kusini, Kaunti ya Meru, waliokula nyama yenye ugonjwa wa kimeta wametibiwa katika Hospitali ya kaunti ndogo ya Nyambene .
Advertisement