Back to home

Mashirika ya haki za kibinadamu yakosoa polisi kwa uzembe dhidi ya wahuni

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
2h ago
Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu yanaelekeza kidole cha lawama kwa idara ya polisi kwa kile yanadai ni utetepetevu na uzembe katika kukabiliana na magenge ya wahuni ambayo yamekuwa yakisababisha usumbufu kwa watu hasa katika mikutano ya kisiasa. Kwa mujibu wa mashirik
Advertisement