Back to home
Kenya U-17 wanawake kukutana na Namibia kwenye mechi ya kufuzu Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)April 17, 2026
4h ago
Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake wa chini ya miaka 17 itachuana na Namibia kesho katika uwanja wa Ulinzi Sports Complex kwenye mechi ya marudiano ya mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia.
Advertisement
Advertisement





