Back to home

Oparanya apinga madai ya sheria mpya, ataka mageuzi katika vyama vya ushirika

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
3h ago
Waziri wa Vyama vya Ushirika Wycliffe Oparanya amekana madai kuwa serikali inabuni sheria zaidi ili kudhibiti vyama vya ushirika nchini. Akizungumza huko Mombasa kwenye kongamano la Muungano wa Vyama vya Ushirika barani, Oparanya amekashifu ubadhirifu wa fedha katika Muungano wa
Advertisement