Back to home

Mvutano wa mali DARI wazua uvamizi wa vijana ofisini

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 19, 2026
2h ago
Kundi la vijana waliojihami wameripotiwa kuvamia tena mali yenye thamani ya mamilioni ya pesa inayozozaniwa kati ya waziri wa zamani Raphael Tuju na benki ya East African Development (EADB). Inadaiwa vijana hao walivunja lango kuu la kampuni ya dari inayohusishwa na tuju na kuing
Advertisement