Back to home

Baba aua mwanawe katika tukio la ukatili Kakamega

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 19, 2026
2h ago
Mwanamume mmoja kutoka kijiji cha imabusi eneo bunge la Ikolomani kaunti ya Kakamega amelazwa katika hospitali ya shibwe chini ya ulinzi mkali baada ya kudaiwa kumuua mwanawe na kuwajeruhi wengine vibaya. Mshukiwa huyo Nathan Shimenga baadaye alishambuliwa na wanakijiji kufuatia
Advertisement