Back to home

Ofisi ya mwanasheria mkuu yafungua kituo cha haki Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 20, 2026
3h ago
Serikali imezindua kituo cha nne cha kisheria kama njia moja ya kuwezesha wafungwa kupata masomo ya kisheria na ujuzi wa kujitetea mahakamani pasipokuwa na Wakili. Kituo hiki kimefungulia Katika Jela ya Nakuru yenye wafungwa 1900, ambao wanahudumia vifungo tofauti. Katibu Katika
Advertisement