Back to home
Uhaba wa mbolea wazua hofu kwa wakulima wa mahindi nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 20, 2026
2h ago
Wakulima wa mahindi wanaendelea kulalamikia uhaba wa mbolea ya kunyunyizia mazao yao, wakihofia kuwa hali hiyo huenda ikaathiri pakubwa mavuno yao. Wakulima eneo la Kitale sasa wanaitaka serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha mbolea inapatikana ndani ya muda wa wiki mbili
Advertisement
Advertisement





