Back to home

Kinara wa DCP, Gachagua adai serikali inatatiza usajili wa kura kwa kuchelewesha vitambulisho

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 21, 2026
2h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua sasa anadai kuwa kuna njama ya kuingilia shughuli ya usajili wa wapiga kura kwa kuchelewesha utoaji wa vitambulisho kwenye ngome za upinzani. Gachagua sasa akitishia maandamano endapo swala hili halitashughulikiwa. Akizungumza hapa Nairobi, Gachagua
Advertisement