Back to home
IEBC imeshauriwa kutumia michezo kuwavutia vijana Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)April 21, 2026
2h ago
Tume ya uchaguzi na mipaka imeshauriwa kutumia baadhi ya michezo na vikao vya vijana ili kujiandikisha kama wapiga kura.
Wakiongea huko mwangoloto katika mkuu wa wafanyakazi kaunti ya kwale pamoja joshua mdoe na kiongozi wa vijana Idd munuphe wamesema hafla za michezo inawavutia
Advertisement
Advertisement




