Back to home
Wakazi wa vijiji Nyamira, waaliandamana kulalamikia ukosefu wa umeme vijijini humo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 21, 2026
2h ago
Wakazi wa vijiji vya Riechieri, Gesweswe, Nyamarimba, Nyameko na Kiemuma eneo bunge la Mugirango Kaskazini katika kaunti ya Nyamira, waaliandamana kulalamikia ukosefu wa umeme vijijini humo kwa zaidi ya miezi minne sasa.
Advertisement
Advertisement




