Back to home
Viongozi Kajiado wakosoa KWS kuweka uzio katika mbuga wa taifa ya Tsavo
video
N
NTV Kenya (Youtube)April 22, 2026
3h ago
Viongozi wa Kaunti ya Kajiado wamekosoa vikali mpango wa KWS wa kuweka uzio katika mbuga ya taifa ya Tsavo, wakisema hatua hiyo itaharibu njia za asili za uhamaji wa wanyamapori na kuathiri maisha ya wakazi wa eneo hilo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news
Advertisement
Advertisement



