Back to home

Wanachama UDA kusubiri kwa uchaguzi kufanywa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 23, 2026
3h ago
Katika kaunti ya Tana River, viongozi na wafuasi wa chama cha UDA kutoka kaunti ya Tana River wameghadhabishwa na hatua ya chama hicho kuahirisha uchaguzi wa mashinani uliotarajiwa kufanyika hii leo hadi mwezi ujao ili kufanya maandalizi ya kutosha.
Advertisement