Back to home

Ufadhili wa masomo wa Sh 903 milioni wacheleweshwa mashuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 23, 2026
3h ago
Zaidi ya shilingi milioni 903 zilizotengwa na hazina ya kitaifa ya fedha kufadhili masomo ya wanafunzi katika shule za umma kati ya mwaka wa 2020 - 2024 hazikutumwa shuleni. Kulingana na ripoti maalum ya mkaguzi wa hesabu za serikali, fedha hizo zilikuwa sehemu ya shilingi bilion
Advertisement