Back to home
Familia wa madereva wa malori ya masafa marefu walalamikia kuhangaishwa kwa madereva nje ya nchi
video
N
NTV Kenya (Youtube)April 24, 2026
3h ago
Familia na viongozi wa madereva wa malori ya masafa marefu wameisuta Wizara ya Leba nchini kwa kufumbia macho ongezeko la visa vya madereva kuhangaishwa na kuuawawa katika mataifa ya nje wanaposafirisha mizigo yao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement
Advertisement




