Back to home
Matiang'i na Maraga wamkosoa Spika Wetangula
video
C
Citizen TV (Youtube)April 24, 2026
2h ago
Naibu kinara wa Chama cha Jubilee Dkt Fred Matiangi na aliyekuwa jaji mkuu David Maraga wameendelea kushutumu uongozi wa Kenya Kwanza haswa Spika wa bunge la Kitaifa Moses Wetangula kwa kile wanachosema ni kuhujumu utendakazi wa bunge. Viongozi hao waliokuwa Wakizungumza Nyamira
Advertisement
Advertisement




