Back to home

Kesi ya Gachagua kubanduliwa yasikilizwa kesho mahakamani

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 26, 2026
1h ago
Viongozi wa Upinzani wameeleza Imani kuwa idara ya mahakama itaitupilia mbali misingi iliyotumika kumbandua afisini kinara wa DCP Rigathi Gachagua, kesi yake itakapoanza kuskizwa kesi hapo kesho. Wakizungumza kaunti Mombasa, Viongozi hao wamelaumu bunge la kitaifa na lile la Sene
Advertisement