Back to home

Msichana wa miaka 22 afariki Kileleshwa kwenye BNB, polisi wachunguza

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 26, 2026
1h ago
Maafisa wa upelelezi hapa Nairobi wanachunguza kifo tata cha msichana wa miaka 12 katika jumba moja eneo la kileleshwa. Consolata Githinji alifariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya sita ya jumba hilo. Ode Francis anaarifu huku picha za cctv zikionyesha dakika za mwisho kabla
Advertisement