Back to home

Linda Mwananchi wamkosoa Oburu Oginga na Rais Ruto kuhusu uongozi na makubaliano ya Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 26, 2026
2h ago
Wanasiasa wa kundi la Linda Mwananchi wameendelea kumkosoa kinara wa ODM Oburu Oginga wakisema alichukua mamlaka kinyume na katiba ya chama hicho. Wanasiasa hapo waliokuwa kaunti ya Kisumu pia wamemlaumu Rais William Ruto kwa kukosa kutimiza ajenda kumi ya makubaliano waliyoafiki
Advertisement