Back to home

Kenya Kwanza wahimiza uungwaji mkono wa serikali Vihiga, wakosoa upinzani

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 26, 2026
2h ago
Viongozi wanaoegemea upande wa serikali wakiongozwa na spika wa bunge la kitaifa Moses wetang'ula wamewasuta wenzao wa upinzani wakisema wanawapotosha wakenya kupitia siasa za kugawanya. Wakizungumza kaunti ya Vihiga, wanasiasa hawa waliwataka wakenya kuwapuuza wenzao wa upinzani
Advertisement