Back to home
Wakazi wa Kathima kaunti ya Meru walalamika ubovu wa barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)April 28, 2026
3h ago
Wakazi wa eneo la Kathima, Eneo bunge la Igembe Kusini kaunti ya Meru wanalalamikia ukosefu wa miradi ya maendeleo na hali nduni ya barabara eneo hilo.
Wanasema ujenzi wa barabara ya eneo hilo ulianza mwaka wa 2017 lakini Mwanakandarasi aliondoka na kuiacha ikawa haipitiki . bara
Advertisement
Advertisement




