Back to home
Vijana wafunzwa kutumia teknolojia ili kujisaidia Nyahururu
video
C
Citizen TV (Youtube)April 28, 2026
3h ago
Wazazi wamepewa changamoto ya kujifunza na kukumbatia maendeleo ya kiteknolojia ili waweze kuwasaidia watoto wao kuitumia kwa busara.
Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Nyahururu limeanzisha programu ya vijana inayokusudiwa kuwawezesha kutumia teknolojia kwa manufaa yao.
Advertisement
Advertisement





