Back to home
Wadau waitaka voliboli kupewa kipaumbele nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 28, 2026
2w ago
Mchezo wa voliboli ni moja kati ya michezo yenye ufuasi mkubwa nchini licha ya kutopewa kipaumbele. Washikadau wa mchezo huo wakitoa wito wa kupewa uzito sawia na michezo mingine. Mwanaspoti wetu Luqman Mahmoud alitembelea chuo cha mchezo huo cha Royal Star mtaani Juja na kuandaa
Advertisement
Advertisement









