Back to home
Mahakama Kuu Nakuru yasitisha kufikishwa mahakamani kwa afisa wa jeshi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 28, 2026
1h ago
Mahakama Kuu mjini Nakuru imeamua kuwa afisa wa jeshi anayekabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe tarehe 14 Aprili hawezi kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka kwa sasa.
Advertisement
Advertisement





