Back to home
Elimu ya wafugaji Laikipia
video
C
Citizen TV (Youtube)April 29, 2026
2h ago
Huku shule nyingi nchini zikifunguliwa kwa muhula wa pili, wafugaji kutoka Kaunti ya Laikipia wameiomba serikali kuwekeza zaidi katika ufadhili wa elimu ili wanafunzi kote nchini wapate fursa sawa za kusoma, hasa ikizingatiwa kuwa gharama ya elimu bado iko juu.
Advertisement
Advertisement









