Back to home
Mudavadi ahimiza pembe ya Afrika kuendeleza amani
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
1h ago
Mkuu wa waziri Musalia Mudavadi amehimiza nchi za kanda ya pembe ya Afrika, kuongoza juhudi za kutafuta amani bila kutegemea mataifa ya nje, kufadhili shughuli za amani na kuhakikisha makubaliano yanayofikiwa yanatekelezwa kikamilifu ili kuzuia vita.
Akizungumza wakati wa maadhi
Advertisement
Advertisement





