Back to home
Vijana wataka IEBC kuweka mikakati yake wazi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
2h ago
Baadhi ya wakazi wa kaunti ya Busia wameitaka IEBC kuwajibika na kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao ni wa haki na huru.
Wakizungumza katika kaunti ya Busia, wakazi hao wanasema kuwa wako tayari kupiga kura mwaka ujao kwa asilimia 100 wakiwataka maafisa hao kutekeleza majukumu ya
Advertisement
Advertisement





