Back to home
Viongozi watoa rambirambi na kumfariji waziri Chirchir
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
2h ago
Viongozi kutoka kaunti za Bomet na Kericho waliungana na familia ya Waziri wa uchukuzi na barabara, Davis Chirchir, katika kijiji cha Chebango, eneobunge la Sotik, kwa ibada ya wafu kufuatia kifo cha babake, Mzee Edwin Koech.
Katika hafla hiyo iliyofanyika katika kanisa la Cheban
Advertisement
Advertisement





