Back to home
Walemavu wahimizwa wachukue kura
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
2h ago
Wazazi wenye Watoto walemavu ambao wamefikisha umri wa kuchukua vitambulisho wameshauriwa kuhakikisha wanajisajili kama wapigaji kura ili kutekeleza haki yao ya kufanya maamuzi katika uchaguzi mkuu mwaka ujao.
Advertisement
Advertisement





